You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Masuala ya Jamii
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
18.05.2024
18 Mei 2024
Marekani yaonya kuhusu uwezekano wa mashoga kushambuliwa
17.05.2024
17 Mei 2024
Waandamanaji nchini Israel walishambulia lori la msaada
17.05.2024
17 Mei 2024
Mkurugenzi wa moja ya gereza kuu nchini Colombia auawa
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Watanzania wafuatilia mafuvu ya mababu zao Berlin
Watanzania wafuatilia mafuvu ya mababu zao Berlin
DW imezungumza na Sindato Philemon Ndesamburo miongoni mwa watanzania 19 walioko Berlin kufuatilia mafuvu ya mababu zao.
Onyesha mandhari kutoka dirishani kwako, ujishindie zawadi!
Onyesha mandhari kutoka dirishani kwako, ujishindie zawadi!
Unaona nini kutokea dirishani kwako? Tuonyeshe, waweza kuwa na bahati ya kujishindia zawadi za DW.
Namna akili ya kubuni AI inavyotumiwa kuwarubuni watu
Namna akili ya kubuni AI inavyotumiwa kuwarubuni watu
Hapo awali matapeli walitumia ujumbe au barua pepe kufanya ulaghai lakini sasa wamegeukia teknolojia ya AI kutapeli.
Dola bilioni 2.2 zaahidiwa kwa ajili ya nishati safi Afrika
Dola bilioni 2.2 zaahidiwa kwa ajili ya nishati safi Afrika
Benki ya Maendeleo ya Afrika na Shirika la kimataifa la nishati IEA zinatarajia kukusanya fedha dola bilioni 2.2 .
Makala yetu leo: Athari za mafuriko nchini Tanzania
Makala yetu leo: Athari za mafuriko nchini Tanzania
Makala Yetu leo inaangalia athari zilizotokana na mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko makubwa Tanzania.
Kenya bado yakabiliwa na maporomoko ya ardhi
Kenya bado yakabiliwa na maporomoko ya ardhi
Tumezungumza na afisa wa kitengo cha kushughulikia majanga katika shirika la Msalaba Mwekundu Kenya kuhusu hali ilivyo.
Onesha zaidi
Ruka sehemu inayofuata Mtazamo wa kina
Mtazamo wa kina
Msichana Jasiri
Kila msichana ana nafasi sawa kuwa jasiri - Msichana Jasiri!
Msichana anayepigania kutokomeza ndoa za utotoni
Msichana anayepigania kutokomeza ndoa za utotoni
Mamilioni ya wasichana kila mwaka huathirika na ndoa za utotoni ambazo zinawakosesha haki ya msingi ya elimu, matatizo ya afya ya uzazi pamoja na kukosa malezi ya wazazi wao. Hayo ni maneno ya Jenniffer Fred, mwanaharakati aliyeamua kulivalia njuga na kusambaza elimu ili kutokomeza ndoa za utotoni. Na huyu leo ndio #msichana wetu #jasiri. #msichanajasiri #hakizawatoto #hakiyaelimu
Mwanaharakati wa haki za watoto wa mitaani Tanzania
Mwanaharakati wa haki za watoto wa mitaani Tanzania
Kundi la watoto wa mtaani ni kundi ambalo linaendelea kuongezeka kwa kasi huku watoto hawa wakiwa hawana elimu madhubuti kutokana na ukatili wanaokutana nao, lakini juhudi za wanaharakati wa masuala ya kijamii ni zipi katika kuhakikisha kuwa wanalisaidia kundi hili. Jackline Joseph ni mwanaharakati ambaye amejitolea katika kulisaidia watoto katika kuwapatia elimu dhidi ya ukatili.
Chipukizi wa muziki wa kizazi kipya
Chipukizi wa muziki wa kizazi kipya
Precious ni mwanamuziki chipukizi wa kizazi kipya kutoka Tanzania ambaye Uwezo wake wa kutumbuiza katika majukwaa umempa sababu ya kuwa mfano kwa watoto wengine. Anasema baba yake ndiye aliyempa msukumo mkubwa wa kunoa kipaji chake. #msichanajasiri.
Gundua zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Masuala maalumu na matukio
Masuala maalumu na matukio
DW Kiswahili inapatikana kupitia mtandao wa Instagram
Jielimishe zaidi
Ruka sehemu inayofuata Safari, maisha na zaidi
Safari, maisha na zaidi
Marafiki kupostiana mtandaoni siku ya "Birthday"
Utamaduni wa kusheherekea siku ya kuzaliwa umebadilika hasa katika zama hizi za kidigitali na kupostiwa mtandaoni.
Talanta na elimu ipi muhimu katika kutafuta nafasi za ajira?
Makala ya Vijana Mubashara inauliza je, kati ya talanta na elimu unafikiri ni kipi kinachostahili kuangaziwa zaidi katika kutoa nafasi za ajira hasa kwa vijana? Utawasikia vijana wakijadiliana kwa kina mada hii katika kipindi hiki. Jacob Safari amezungumza nao katika kipindi hiki cha vijana Mubashara, 77asilimia
Vijana na ushiriki wao wa densi katika mitandao ya kijamii
Kama wewe ni mtumiaji wa mitandao ya kijamii bila shaka hivi karibuni utakuwa umekutana na vidio chungu nzima za vijana wakicheza aina mbalimbali za miziki. Mitandao ya kijamii kama vile YouTube, Tiktok, Facebook na Instagram sasa imegeuka kuwa jukwaa la vijana kuonyesha umahiri wao wa kucheza muziki. Nini kinasababisha vijana kushiriki densi hizo?
Matangazo